Ijumaa, 3 Januari 2014

Madee amzawadia gari meneja wake kama zawadi ya.......……

1

Rais Kikwete aomboleza kifo cha waziri wa Fedha, mh. William Mgimwa

1
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, M

Tunda Man, Ali Kiba na Masogange kushoot video ya ‘Msambinungwa’ Kenya

Tunda Man ,Ali Kiba pamoja na video Queen wa Bongo, Agness Gerald aka Masogange’ wanatarajia kwenda nchini Kenya kushoot video ya wimbo mpya ya Tunda Man ‘Msambinungwa’.
1

Snura amshukuru Wema kwa kuwa mtu wa mwanzo kumsaidia wakati anaanza muziki

Karibia kila msanii ambaye amefanikiwa kwa namna yoyote huwa kuna mtu aliyechangia kufika hapo alipo, upande wa Snura amemtaja mrembo Wema Sepetu kuwa ndiye aliyefungua milango ya kuelekea kwenye mafanikio ya muziki aliyonayo sasa.
snura2

Chege,Afande Sele,Belle 9,Nay wa Mitego, Young Killer na Madee wauelezea mwaka 2013 kimuziki

Wasanii wa muziki Chege, Afande Sele,Belle 9,Nay wa Mitego, Young Killer na Madee wamengufuka na kueleza jinsi muziki ulivyobadili maisha ya wasanii ndani ya mwaka 2013 pamoja na kiwanda chote cha muziki wa Tanzania. Hivi ndivyo walivyouelezea:
1

Millen Magese atajwa miongoni mwa wanawake warembo 20 barani Afrika- 2013

Jarida la Glitz Africa limetoa orodha ya wasichana 20 warembo zaidi barani Afrika (20 Most Beautiful Women in Africa) ambapo hata hivyo imetawaliwa na wanawake wa Nigeria na Ghana.
1Ni Millen Magese pekee amek