Jumanne, 7 Januari 2014

Rapper Wakazi kuja na video mpya iliyofanyika katika baadhi ya mitaa ya Kariakoo na town Dsm. tazama baadhi ya picha.

wakazi 3
HEFEMI Studios ambayo ni kampuni ya Mtanzania anaeishi Marekani ndio inahusika....
kuifanya hii video mpya ya rapper Wakazi ambae mwaka 2013 alipata nafasi ya kuonekana kwenye stage nyingine kubwa ya Africa Big Brother Africa (BBA,2013.the chase) na kuonyesha uwezo mkubwa.
Wakazi anakwambia hii video mpya ya sumu ya panga ‘my city’ itakufikia mwishoni  mwa mwezi January 2014 ambapo imefanywa kwenye maeneo kadhaa ya Dar es salaam ikiwemo Mnazi mmoja na Kariakoo.

wakazi 2
Wakazi na director msaidizi Mecky.
wakazi 1
Wakazi na mashabiki wake.
wakazi 4
wakazi 5
Wakazi na Manager wake aitwae Thuwein.
wakazi 6
Wakazi na Hefemi kwenye scene Kariakoo
wakazi 8
wakazi 9

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni